Wednesday, November 4, 2015


Ilikuwa siku kubwa kwa Paul Okoye wa P-Squre na mpenzi wake wa muda mrefu Anita Isama katika Harusi ya kiutamaduni iliyofanyika wikend iliyopita, siku ya Jumamosi Machi 22, 2014.
Upambaji wa ukumbi ulifanywa na wataalam wa fani hiyo nchini Nigeria wanaoitwa 'Wedding Guru' ambao pia ndiyo walihusika katika Harusi ya pacha wake Paul, yaani Peter, iliyofanyika mwishoni mwa mwaka 2013.
Mastaa waliokuwepo katika Harusi hiyo ni pamoja muigizaji Omotola Jalade, wanamuziki Iyanya, Banky, Peter Okoye ambaye ni pacha wake Paul pamoja na kaka yao Jude Okoye. Tazama picha za kutosha hapa:

Meza

Peter, mtoto wa Peter anayeitwa Cameroon, na Wapambe wa Paul

0 comments:

Post a Comment