Posted by Williammalecela.com on Sunday, November 22, 2015
Rais John P. Magufuli amefuta majina ya maafisa wa Serikali 50 na kubakiza 4 tu waliotakiwa kwenda kwenye mkutano wa Jumuiya ya Madola
-Hatua yake hiyo imeokoa takribani milioni 700 ambazo zingetumika kwenye malipo ya posho na tiketi za ndege

0 comments:
Post a Comment