Sunday, November 22, 2015

  Rais John P. Magufuli amefuta majina ya maafisa wa Serikali 50 na kubakiza 4 tu waliotakiwa kwenda kwenye mkutano wa Jumuiya ya Madola

-Hatua yake hiyo imeokoa takribani milioni 700 ambazo zingetumika kwenye malipo ya posho na tiketi za ndege

0 comments:

Post a Comment