Posted by Williammalecela.com on Friday, November 06, 2015

Baraza
la Masenator Nchini Rwanda wamekaa na kujadili sheria iliyopitishwa na
Wabunge ili kumfanya Paul Kagame aendelee kuongoza mpaka 2034, Baada ya
kupitia vipengele hivyo Wananchi watapiga kura ya maoni. Hata hivyo
Badhi ya Viongozi wa Upinzani wameonya kuhusu hizo sheria
Chanzo: ITV-
0 comments:
Post a Comment