Kitimtim ni wimbo wa kuchezeka wenye mahadhi ya mduara uliochagizwa na vionjo vya ragga/dancehall kutoka kwa rapper na mwimbaji wa dancehall @bayothegreat.
Unaweza kudownload Kitimtim hapa Chini:
Hii ni ngoma ya pili ya Bayo kwa mwaka huu wa 2015. Ngoma kabla ya hii inaitwa "Nielewe" yenye mahadhi ya sweet reggae. Unaweza kutizama nielewe hapa:
Wimbo wa kwanza kutoa Bayo kama solo artist unaitwa Jina Kapuni akiwashirikisha Watu Pori pamoja na Hussein Machozi. Bayo kwa sasa ni mfanyakazi wa shirika la VSO visiwani Zanzibar.

0 comments:
Post a Comment