Friday, November 13, 2015


Kumekuwa na stori mitandaoni na kwenye vyombo vya habari kuhusu ishu ya msanii wa Bongo Movie, Steve Nyerere kulishwa chakula chenye sumu !!


Hii hapa sehemu ya Interview ambayo #AyoTV ilifika nyumbani kwake, Kinondoni Dar es Salaam na kasimulia kila kitu ilivyokuwa akala chakula chenye sumu, matibabu, anachokiamini na kinachoendelea kwa sasa.

0 comments:

Post a Comment