Friday, November 13, 2015

MAGUFULI MGENI RASMI STARS NA ALGERIA, KIKWETE NAYE NDANI. Rais john pombe magufuli anatazamiwa kuwa mgeni rasmi ktk mchezo wa kuwania kuingia kwenye hatua ya makundi kombe la dunia kati ya taifa stars na algeria uwanja wa taifa dsm. Mchezo huo utakaopigwa jumamosi utakuwa wa kwanza kwa mhe magufuli tangia achaguliwe kuwa rais wa tanzania, naye rais mstaafu wa awamu ya nne jakaya mrisho kikwete ataudhuria mchezo huo kama mtazamaji wa kawaida. Stars itakuwa na shughuri pevu kwani algeria maarufu mbweha wa jangwani ipo juu kwa ubora wa viwango afrika

0 comments:

Post a Comment