Thursday, November 12, 2015

Viongozi wa chama cha NCCR - MAGEUZI Mwanza inasemekana wamejiuzuli uongozi ndani ya chama chao kwa madai ya M/kiti wa chama hicho James Mbatia kukidhohofisha chama kilichokuwa na
wabunge wanne na sasa kina mbunge mmoja.
Waliojiuzulu inasemekana ni Kamishina wa mkoa Ramadhan Amran, M/kiti wa jimbo la Nyamagana na Ilemela na Kiongozi wa vijana Nicolas Clinton. 

1 comment:

  1. Huyo Mbatia mwenyewe ni katibu mwenezi na msemaji wa chadema, kama si huo ubunge, angebwaga manyanga

    ReplyDelete