Posted by Williammalecela.com on Friday, December 18, 2015
 |
Jumla ya watu. 12 wamepoteza Maisha na 22 wamejeruhiwa leo baada ya
basi la New Force kupata ajali Eneo la Mahenge Wilaya ya Kilolo mkoani
Iringa barabara kuu ya Iringa- Dar es salaam
Ajali hiyo imetokea mchana huu na jitihada za kusafirisha majeruhi zinaendelea.
|
0 comments:
Post a Comment