Posted by Williammalecela.com on Thursday, December 03, 2015
 |
UKWEPAJI
KODI BANDARINI: Mfanyabiashara wa Kariakoo Jijini Dar Nassoro Ahmed bin
Slum anayemiliki kampuni inayoitwa BINSLUM TYRES LTD, katika mazungumzo
yake na gazeti la Raia Mwema amekiri kuwepo kwa utata wa kodi -Katika maelezo yake amekiri makontena 20 tu hayana nyaraka za kodi lakini kamtupia lawama wakala wake |
0 comments:
Post a Comment