Monday, December 28, 2015

 

WAZIRI Prof. Makame Mbarawa  ameweka rekodi ya kuhudumu katika wizara mbili zaidi toka Serikali ya awamu tano iingie Madarakani chini ya  Rais Magufuli  baada ya kuhamishwa kutoka Wizara ya Maji na Umwagiliaji na kwenda kuwa Waziri katika Wizara ya Ujenzi, uchukuzi na Mawasiliano.

Hii ni rekodi ya kipekee kwa waziri Mbarawa ambapo bado haijavunjwa na Waziri yeyote yule

0 comments:

Post a Comment