Wednesday, December 9, 2015


Mbunge wa Korogwe Vijijini Steven Hillary Ngonyani ‘Maji Marefu’. Na Mwandishi Wetu TRA ya Magufuli! Gari la Mbunge wa Korogwe Vijijini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Steven Hillary Ngonyani ‘Maji Marefu’ (pichani) linadaiwa kuzitikisa ofisi za Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) zilizopo Barabara ya Sokoine jijini Dar es Salaam.

Kwa mujibu wa mtumishi mmoja kutoka ofisi hiyo, baadhi ya maofisa wanaamini gari hilo aina ya Toyota Land Cruiser ‘Super Charger’ lina ukwepaji wa kodi jambo ambalo limesababisha watu kulisaka faili lake ofisini hapo 


0 comments:

Post a Comment