Raia wa uingereza 230,000 wamesaini nyaraka ya kupeleka hoja kwenye
bunge lao ili ijadilidiliwe na kumzuia Donald Trump ambaye anawania
kupata tiketi ya kugombea urais nchini Marekani kwa mwamvuli wa chama
cha Republican
Wananchi hao wana hasira kufuatia kauli yake ya kibaguzi iliyowashtua
wengi na kumshusha thamani kwa watu mbalimbali waliokuwa wakimuamini,
ambapo hivi karibuni mgombea huyo alisema waislamu wasiruhusiwe kuingia
nchini Marekani ili kuzuia ugaidi

0 comments:
Post a Comment