Alizaliwa njiti akiwa bado hajatimiza muda wake wa kuzaliwa, Kipaji chake kilivumbuliwa tarehe 14 mwezi Disemba iliilazimu klabu ya
barcelona kuandika mkataba wa haraka wa Lionel Messi. Kwa kuwa Mazingira hayakuruhusu iliwalazimu kuandikiana Mkataba huo katika Tishu, (Napkin). Huyu ndio Messi wa Leo anayeitikisa Dunia katika soka.....,
Lionel Messi wiki hii atafikisha mechi ya 500 akiichezea Barcelona katika La Liga
Messi atafikisha mechi hizo 500 wakati atakaposhuka uwanjani kesho kuingoza Barcelona katika mechi dhidi ya Real Betis.
Mechi
hiyo ya 500 itakuwa ni katika La Liga ambayo tayari amedungua mabao 424
na kuwa mmoja wa wachezaji hatari zaidi katika kikosi cha timu hiyo.
MECHI YA KWANZA YA LIGA
Oktoba 16, 2004 Vs Espanyol
MECHI YA 100 LIGI YA MABINGWA ULAYA
Septemba 16, 2015 Vs Roma
MECHI YA 250 YA LA LIGA
Februari 20, 2011 Vs Athletic Bilbao

0 comments:
Post a Comment