Wednesday, December 30, 2015





  SPAIN
                                                                                   

Alizaliwa njiti akiwa bado hajatimiza muda wake wa kuzaliwa, Kipaji chake kilivumbuliwa tarehe 14 mwezi Disemba iliilazimu klabu ya 
barcelona kuandika mkataba wa haraka wa Lionel Messi. Kwa kuwa Mazingira hayakuruhusu iliwalazimu kuandikiana Mkataba huo katika Tishu, (Napkin). Huyu ndio Messi wa Leo anayeitikisa Dunia katika soka.....,

Lionel Messi wiki hii atafikisha mechi ya 500 akiichezea Barcelona katika La Liga



Messi atafikisha mechi hizo 500 wakati atakaposhuka uwanjani kesho kuingoza Barcelona katika mechi dhidi ya Real Betis.



Mechi hiyo ya 500 itakuwa ni katika La Liga ambayo tayari amedungua mabao 424 na kuwa mmoja wa wachezaji hatari zaidi katika kikosi cha timu hiyo.



MECHI YA KWANZA YA LIGA

Oktoba 16, 2004 Vs Espanyol



MECHI YA 100 LIGI YA MABINGWA ULAYA

Septemba 16, 2015 Vs Roma



MECHI YA 250 YA LA LIGA

Februari 20, 2011 Vs Athletic Bilbao 

                                                                                                                  
Categories:

0 comments:

Post a Comment