WAZIRI wa Mambo ya Ndani Charles Kitwana amesaini mktaba wa ushirikiano na Wizara ya Mambo ya ndani wa China ,amba[po kupitia mkataba huo fursa mbalimbali baina ya watu wa matifa hayo zimefunguliwa rasmi,mkataba huo ulisainiwa jana jijini Dar es Salaam katika ofisi za Wizara hiyo
0 comments:
Post a Comment