MSANII mahiri Tanzania,Diamond Plutnumz ameibuka na kumsifia mama mtoto wake,Zari Hassan,'The Boss Lady'huku akisema kuwa anamshukuru Mungu kwa kumpata mwanamke kama yeye
Eeh Mwenyez Mungu sina cha kukulipa zaidi ya Kukushkuru sana kwa kuweza kunipa Mwanamke Mwema, mwenye kuniongoza... https://t.co/Dk6tkG3QNO
— Chibu Dangote (@diamondplatnumz) December 14, 2015

0 comments:
Post a Comment