Posted by Williammalecela.com on Wednesday, December 23, 2015
 |
Mkuu Mpya wa mkoa wa Kilimanjaro Mh. Amos Makalla alipozindua mradi wa Maji kijiji cha mabogini,
kitongoji cha shabaha. Mradi unagharimu sh 343 milioni umetekelezwa na
serikali kupitia mamlaka ya Maji safi Moshi (MUASA) na utanufaisha watu
zaidi ya 3,000 Ameagiza wananchi wote mkoani kilimanjaro kulinda
vyanzo vya Maji ikiwemo kupanda miti na kutokufanya shughuli za kuharibu
vyanzo vya Maji. Aidha amewatakaka wananchi kulinda miundombinu ya Maji kwa kufanya hivyo miradi ya Maji itakuwa endelevu |
0 comments:
Post a Comment