Saturday, December 26, 2015


Aliyekuwa mgombea wa uraisi kwa mwavuli wa UKAWA ndugu Edward Lowasa inadaiwa ameanza kuchunga ng'ombe huko Handeni mkoani Tanga. Ana makazi Ngarash Monduli, Dodoma, Masaki, na sasa uzeeni ni Handeni Tanga anachunga ng'ombe.

Chanzo: Gazeti la Majira.

0 comments:

Post a Comment