Posted by Williammalecela.com on Saturday, December 26, 2015
Aliyekuwa
mgombea wa uraisi kwa mwavuli wa UKAWA ndugu Edward Lowasa inadaiwa
ameanza kuchunga ng'ombe huko Handeni mkoani Tanga. Ana makazi Ngarash
Monduli, Dodoma, Masaki, na sasa uzeeni ni Handeni Tanga anachunga
ng'ombe.
Chanzo: Gazeti la Majira.

0 comments:
Post a Comment