Posted by Williammalecela.com on Monday, December 07, 2015
JENERALI ULIMWENGU
"Siwezi kuacha siasa kwa sababu ndiyo kila
kitu, lakini nimeachana na siasa za majukwaani kwasababu hazina tija kwa
taifa, ili uwe mwanasiasa inabidi uwe na fedha, ujipendekeze kwa
wakubwa, uwe muongo, laghai na mfitini, siwezi kuwa hivyo,"..
©Jenerali Ulimwengu.
0 comments:
Post a Comment