SHUGHULI ya kufanya usafi nchini ilipamba moto pia katika Jiji la Dar es Salaam kufuatia wito wa Rais Dk. John Magufuli wa kuitumia siku ya uhuru wa Tanzania Bara kwa ajili ya wananchi kusafisha mazingira sehemu za makazi na makazini mwao.
Kamera yetu leo ilitembelea maeneo mbalimbali ambako shughuli hiyo ilifanyika, miongoni mwake yakiwa ni Tandale Sokoni, Manzese Darajani, Mbezi ya Kimara.
PICHA / HABARI: DENIS MTIMA/GPL
0 comments:
Post a Comment