Monday, December 14, 2015


"Jana tarehe 11 Dec 2015 niliapa kuwa Diwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Chalinze. Kiapo hiki kilinipa nafasi pia ya kusimama na kueleza juu ya Dira mpya ya Maendeleo ya Jimbo na Halmashauri yetu. Hakika ni Mwanzo mzuri wa kuelekea kwenye Chalinze yenye Maendeleo ya Uhakika.‪#‎WachaKaziIendelee‬ ‪#‎MagufuliRaisiWangu‬ ‪#‎MagufuliMoyoniMwangu‬"

0 comments:

Post a Comment