Posted by Williammalecela.com on Saturday, December 26, 2015
Bingwa wa muziki wa Singeli, Msaga Sumu akifanya yake Sikukuu ya Krismasi ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala- Zakhem jijini Dar .
Mashabiki wakimshangilia Msaga Sumu (hayupo katika picha).
Mashabiki akiendelea na shoo yake.

Akiendelea na Makamuzi yake mida ya Saa 5: 50 usiku wa kuamkia leo kwenye Ukumbi wa Dar Live, Mbagala Zakhem jijini Dar es Salaam.
0 comments:
Post a Comment