Posted by Williammalecela.com on Wednesday, December 23, 2015
Mwimbaji wa bongo fleva Shilole aka Shishi amefanikiwa kufanya collabo na msanii/producer kutoka Nigeria Selebobo. Shilole alikuwepo Nigeria na wasanii Feza Kessy na Lina kwaajili ya show ya Sound City.
0 comments:
Post a Comment