MWANAHARAKATI wa kisiasa nchini Hamphrey Polepole ameishukia nchi ya Rwanda na kudai kuwa hiungi mkono kwa baadhi ya mambo yanayofanywa na Serikali ya Paul Kagame na kudai kuwa kinacho mfurahisha nchini humo ni namna wanyarwanda wanavypiga kazi
Siungi mkono mambo kadhaa kuhusu Rwanda ila kuna mambo tunaweza jifunza kutokwa kwao. Jamaa wanajituma, wengi wetu wavivu. #MshauriMwelekezi
— Humphrey Polepole (@hpolepole) December 6, 2015

0 comments:
Post a Comment