Tuesday, December 15, 2015

Naibu Waziri ofisi ya Rais, Tamisemi Selemani Jaffo akishiriki zoezi la kuwapima uzito mmoja wa watoto waliokuwepo katika kituo cha Afya Bahi baada ya kufanya ziara ya kukagua utoaji Huduma za afya katika wilaya ya Bahi, Mkoani Dodoma.
Naibu waziri Ofisi ya Rais, Tamisemi Selemani Jaffo akizungumza na wagonjwa Mara baada ya kukagua wodi ya akina mama katika Kituo cha afya bahi.
Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Tamisemi Selemani Jaffo akizungumza na watumishi na wakuu wa idara katika halmashauri ya wilaya ya bahi(hawapo pichani), kulia, ni Mkuu wa wilaya ya bahi Fransis Mwonga na kushoto ni Mkurugenzi wa halmashauri hiyo Rachel Chuwa.
.baadhi ya wakuu wa idara katika halmashauri ya bahi.
Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Tamisemi Selemani Jaffo(mwenye tai nyekundu) akisikiliza maelezo kuhusu mradi wa maji wa mkakatika kutoka kwa mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya bahi Rachel Chuwa.

0 comments:

Post a Comment