MWANAMITINDO na msanii wa move za kibongo ambaye pia inasadikiwa kuwa anatoka kimapenzi na msanii mahiri wa Bongo Fleva Ally Kiba japo kwa nyakati tofauti amekana hadaharani,Jokate Mwangelo amefunguka na kudai kuwa hajawai kuenjoy show kali kama ya jana ambayo Ally Kiba alikuwa akitumbuiza katika kufunga mwaka 2015
Sikuwahi fikiria ninge-enjoy show na live band ila jana Ali Saleh Kiba was simply amazing. Close to being flawless. That Voice! The band! 🙌🏾— Jokate Mwegelo (@jokateM) December 27, 2015

0 comments:
Post a Comment