Friday, December 18, 2015

Serikali yatangaza kuanzia Januari 2016 wasanii watalipwa na Televisheni na vituo vya redio vitakavyokuwa vinatumia nyimbo zao.
Hatua hiyo ilifikiwa kwa ushirikiano wa Wizara ya Viwanda na Biashara na Wizara ya Habari, Michezo na Sanaa

0 comments:

Post a Comment