Meneja Masoko wa Airtel Bi Anethy Muga akiongea na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa promosheni mpya ijulikanayo kama “Airtel MKWANJIKA” itakayowawezesha wateja wote wa Airtel nchi nzima kujishindia mamilioni ya pesa taslimu kila siku.
Meneja Uhusiano wa Airtel Bwana Jackson Mmbando akielezea jinsi promosheni ya Airtel Mkwanjuka itakavyoendeshwa wakati uzinduzi wa promosheni hiyo itakayowawezesha wateja wa Airtel nchi nzima kujishindia mamilioni ya pesa hadi shilingi milioni 300.

0 comments:
Post a Comment