Friday, January 15, 2016

Mr Bond ambaye alikuwa mchumba wa mwigizaji Wastara kwa muda wa miaka miwili na nusu amepiga stori na Soudy Brown na kusema kisa kilichofanya wakaachana.
Bond amesema kwa kinywa chake kuwa kwa bahati mbaya alimpa mimba mchepuko wake na alipojifungua kuna siku mchepuko huo ukampigia simu Wastara kuomba msaada wa matunzo hapo ndipo kizaa zaa kilipoanza na kisha kuachana miezi minne iliyopita
Bond amesema amejisikia wivu sana lakini yote ni mipanga ya mungu na kwa sasa yeye yupo single...pia amedai uamuzi wa Wastara kuolewa haraka haraka wa hasira kutokana na wao kuachana.....

0 comments:

Post a Comment