Mr
Bond ambaye alikuwa mchumba wa mwigizaji Wastara kwa muda wa miaka
miwili na nusu amepiga stori na Soudy Brown na kusema kisa kilichofanya
wakaachana.
Bond
amesema kwa kinywa chake kuwa kwa bahati mbaya alimpa mimba mchepuko
wake na alipojifungua kuna siku mchepuko huo ukampigia simu Wastara
kuomba msaada wa matunzo hapo ndipo kizaa zaa kilipoanza na kisha
kuachana miezi minne iliyopita
Bond
amesema amejisikia wivu sana lakini yote ni mipanga ya mungu na kwa
sasa yeye yupo single...pia amedai uamuzi wa Wastara kuolewa haraka
haraka wa hasira kutokana na wao kuachana.....
0 comments:
Post a Comment