Monday, January 4, 2016


Kampuni ya UDART, mradi wa mabasi ya mwendo kasi imetuma maombi SUMATRA, nauli ipandishwe na kuwa kati ya Tsh 1,200 - 1,400 kwa safari ya njia kuu. Wanafunzi kulipa nauli ya mtu mzima.

- Kwa mujibu wa sheria ya SUMATRA, Mamlaka inapswa kukusanya maoni ya wadau kabla ya kufikia uamuzi wa kuridhia wa viwango vya nauli.

0 comments:

Post a Comment