Monday, January 25, 2016

 Mwanasheria Mkuu (AG) wa zamani Zanzibar, Othman Masoud Othman, amesema "Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Shein, anapaswa kujiuzulu kwa sasa na Jaji Mkuu kuviongoza visiwa hivyo kwa kuunda kamati maalum itakayochunguza uhalali wa kufutwa kwa matokeo ya uchaguzi mkuu visiwani humo."

0 comments:

Post a Comment