Posted by Williammalecela.com on Monday, January 04, 2016
 |
Za mwizi 40
"Mtu anayedaiwa nikibaka ambae ameniambia anaitwa Juma,
akiwa chini ya
ulinzi wa wananchi mbezi kawe beach karibu na madarasa ya university of
bagamoyo na redio Times Kawe Beach Dar es Salaam,baada ya kupata kipigo
kutoka kwa wananchi wenye hasira baada ya kumkata wakati akiwa amemaliza
kupora simu ya mwanafunzi mmoja.eneo hilo hivi sasa limekithiri kwa
vibaka kuanzia mchana hadi jioni ambao wanashughuli moja ya kupora simu
na komputa za baadhi ya wanafunzi wa UB na wakazi wa eneo.
Niliwashauri wampakize kwenye bajaji wampeleke kituo cha polisi Kawe na
ndio wamempeleka na hilo panga lake.Watu wamefurahishwa sana na huyo mtu
kupewa kipigo maana wamezidi wizi kwa wanafunzi hao."
|
0 comments:
Post a Comment