Posted by Williammalecela.com on Friday, January 08, 2016
Jarida la ‘African Sun’ la
nchini Marekani linaloongoza kwa kuripoti mambo ya Afrika, limemtaja
Rais Mstaafu Kikwete kama Rais Bora Afrika mwaka 2015.
Aliyekuwa Rais wa Nigeria Goodluck Jonathan, ametajwa kama mtu wa Kimataifa wa mwaka (International Person of the year 2015)
0 comments:
Post a Comment