Manamke ambaye
jina lake halikupatikana mara moja akiwa amekaa juu ya paa la majengo ya
Wizara ya Fedha na Mipango jijini Dar es Salaam leo.
Mwanamke huyo
akizungumza na watu waliokusanyika lakini alikuwa hasikiki vizuri maneno
aliyokua akiongea kutokana na wananchi waliokusanyika kumuuliza maswali
mengi kwa wakati mmoja.
0 comments:
Post a Comment