Saturday, January 23, 2016




Aliyekuwa mgombea Urais kupitia chama cha ADC Zanzibar Hamad Rashid amevuliwa uanachama wa chama hicho baada ya kuunga kufutwa kwa uchaguzi mkuu wa Rais na Mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi zanzibar ZEC, Bwana JECHA. 

chanzo na jamii forum

0 comments:

Post a Comment