Sunday, January 24, 2016




JWTZ imetoa ufafanuzi juu ya mavazi ya Kijeshi aliyovaa Amiri Jeshi Mkuu Mh. John Pombe Magufuli. Msemaji Mkuu wa JWTZ Kanali Ngemela Lubinga alieleza ya kuwa Mh. Rais alikuwa sahihi kuvaa mavazi Yale katika siku ile kwa kuwa alikuwa anaenda kwenye shughuli za Kijeshi. Na pale aliposimama kuongea na Wananchi haikuwa kwenye ratiba ya Mh. Rais, bali Wananchi walifunga barabara na kuomba Rais awasalimie. 

SOURCE;JAMII FORUM

0 comments:

Post a Comment