BILIONEA na mmiliki wa makampuni yaliyo chini ya IPP,Regnald Mengi ameibuka na kusema kuwa Tanzania haiwezi kuwa huru hadi hapo itakapo jikpmboa kiuchumi na kudai kuwa ukombozi huo wa kiuchumi utaletwa na watanzania wenyewe .
Tanzania haiwezi kuwa huru hadi hapo itakapojikomboa kiuchumi. Na ukombozi huo wa kiuchumi utaletwa na Watanzania.
— Reginald Mengi (@regmengi) January 8, 2016

0 comments:
Post a Comment