Katika hali isiyokuwa ya kawaida mwekezaji wa kiwanda cha kutengeneza nyuki Mkoani Tabora amefunga kiwanda hicho na kurudi makwao India.
''Mheshimiwa Naibu Spika nataka waziri anaehusika na viwanda tukimaliza Bunge tuambatane kwenda Tabora akajionee wawekezaji wa nchi hii, kule kwangu mwekezaji amefunga kiwanda cha nyuzi na kuondoka''
''Nimefanya ziara katika kiwanda kile nimekuta kimefungwa nikauliza ufunguo uko wapi kuangalia kama mashine zinafanya kazi nikaambiwa mwekezaji aliuza kama vyuma chakavu''. Amesisitiza Mwakasaka

0 comments:
Post a Comment