Friday, January 1, 2016

Usiku wa kuamkia leo, mfalme wa Bongo Fleva, Ali Kiba aka Balozi wa wanyama alifanya shoo kubwa ya kuuaga mwaka 2015 na kuukaribisha mwaka 2016 mjini machakos nchni Kenya.
Akiwa na wacheza shoo wake, 4real Dancers  balozi king Kiba alifanya shoo kali ya kihistoria jionee
KIBA543
KIBA32 ALI KIBA33 KIBA5661 KIBA566 ALI KIBA65

0 comments:

Post a Comment