Sunday, January 24, 2016

Leo kutakuwa na mchezo mkali wa ligi kuu ya England kati ya mabingwa wateteziChelsea dhidi ya Barcelona.
Msanii Madee ni mmoja wa mashabiki wa Arsenal ambaye leo atakuwa mpinzani mkubwa wa Chelsea.

Katika kuonyesha mapenzi yake kwa klabu yake ya Arsenal, kwenye ukurasa wake wa@Instagram Madee ameahidi kuchoma gari yake moja moto endapo timu yake ya Arsenal itafungwa na Chelsea.
Hivi ndivyo alivyoandika..



0 comments:

Post a Comment