Posted by Williammalecela.com on Thursday, January 28, 2016
 |
| Mbunge wa CCM Viti Maalum Njombe Mh. Neema Mgaya Leo asubuh katika kikao cha bunge nikiihoji serikali ni lini itatatua
tatizo la maji katika mkoa wangu wa njombe hus usa maeneo ya makambako
maji ni shida yanatoka kwa msimu kipindi cha kuangazi maji hakuna
kabisa,maeneo ya njombe mjini,na maeneo ya kata za kijombe, saja na
wanging'ombe , nimeshauri serikali itatue tatizo hilo mara moja ili
kina mama wa mkoa wa njombe waondokane na adha ya maji.. |
0 comments:
Post a Comment