Posted by Williammalecela.com on Tuesday, January 19, 2016
 |
Mkuu Mpya wa Mkoa wa Kilimanjaro Mh. Makalla leo amefanya ziara wilaya ya Hai kwa kuweka jiwe
la msingi ujenzi wa Barabara ya Rundugai na kuweka jiwe la msingi
ujenzi wa madarasa 2 sekondari ya Kia Aidha amefanya kikao cha
pamoja na Kamati ya Ulinzi na usalama, madiwani, watendaji kata na
Vijiji , waratibu Elimu kata na wakuu wa idara na ameelekeza yafuatayo
1.Mkuu wa wilaya ya Hai na watalaam wa Afya wakutane na viongozi wa
wilaya ya simanjriro ili kuthibiti ugonjwa wa kipindupindu ambao
wagonjwa wote wakioripotiwa wanatoka wilaya ya Simanjaro. Mkoa wa
kilimanjaro umedhibiti ugonjwa wa kipindupindu hakuna mtu aliyefariki na
wagonjwa wakioripotiwa wanatoka simanjriro na wote wametibiwa na
wamebaki wagonjwa 2 tu 2. Ameagiza Uongozi wa wilaya na
madiwani kukomesha ubadhirifu. Amehoji ni kwa vipi halmashauri hiyo
inapata hati safi miaka 8 mfululizo lakini ndiyo inaongoza kwa
ubadhirifu wa Fedha za umma ambapo watumishi zaidi ya nane
wameshafukuzwa kazi na wengine wapo mahakamani. |
0 comments:
Post a Comment