Monday, January 18, 2016

Mkuu Mpya wa Mkoa wa Kilimanjaro Mh. Amos Makalla amefanya ziara wilaya ya Siha kwa kuweka jiwe la msingi ujenzi wa zahanati kijiji cha Mese na maabara sekondari ya Kilingi
Aidha amefanya kikao na Kamati ya Ulinzi na usalama, madiwani, watendaji kata, waratibu Elimu kata na watendaji wa Vijiji na kuelekeza yafuatayo
1. Kuhusu migogoro ya ardhi iliyoopo wilaya ya siha inayohusisha wilaya ya Siha na wilaya za Arumeru na Longido( mkoa wa Arusha) serikali ya Mkoa was Kilimanjaro umeshauomba uongozi wa Arusha wakutane maeneo ya migogoro kumaliza migogoro hiyo
2. Kuhusu mashamba yasiyoendelezwa mkoa unapendekeza kwa Waziri mwenye dhamana kufuatia hati wamiliki wasiyoyaendekeza
3.wananchi kuheshimu sheria za nchi kwa kutovamia mashamba ya watu wengine wanaomiliki kihalali











0 comments:

Post a Comment