Yamoto Band baada ya kusambaza upendo wa burudani pande za Mwanza, usiku wa mkesha mwaka mpya yaani December 31 walioamua kwenda kutoa burudani ya nguvu kwa majirani zao wa Kenya. Yomoto Band walidondosha burudani pande za Mombasa Kenya. Yamoto walipiga show ya hit singles zao zote na kuukaribisha mwaka mpya na mashabiki wao wa Mombasa.









0 comments:
Post a Comment