Posted by Williammalecela.com on Sunday, January 03, 2016
Waziri
wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Maghembe amefichua sababu za
Rais John Magufuli, kumteua Meja Jenerali Gaudence Milanzi kuwa Katibu
Mkuu wa wizara hiyo.
Profesa
Maghembe alisema lengo ni kuwa na kamanda atakayeongoza mapambano dhidi
ya ujangili na kutoa onyo kwa majangili kujisalimisha na silaha zao,
vinginevyo watakiona cha mtema kuni.
0 comments:
Post a Comment