Posted by Williammalecela.com on Thursday, January 07, 2016
Mkuu
wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Meck Sadiki amewataka waliovamia na
kujigawia maeneo ya watu wengine likiwamo la Waziri Mkuu mstaafu,
Frederick Sumaye na aliyewahi kuwa Naibu Waziri wa Ardhi, Ritha Mlaki
waondoke mara moja kwa kuwa wamevunja sheria.
Hakika watanzania tukibadilika na kuanza kufikiri namna hii tutafika mbali sana. Safi sana bro
ReplyDelete