Thursday, January 7, 2016

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Meck Sadiki amewataka waliovamia na kujigawia maeneo ya watu wengine likiwamo la Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye na aliyewahi kuwa Naibu Waziri wa Ardhi, Ritha Mlaki waondoke mara moja kwa kuwa wamevunja sheria. 

1 comment:

  1. Hakika watanzania tukibadilika na kuanza kufikiri namna hii tutafika mbali sana. Safi sana bro

    ReplyDelete