Monday, January 4, 2016


Wananchi waliokumbwa na ‘bomoabomoa’ katika maeneo mbalimbali jijini Dar es Salaam wamevamia shamba la waziri mkuu wa zamani, Frederick Sumaye lenye ukubwa wa hekari 33 lililopo katika eneo la Mji mpya, Mabwepande na kujigawia maeneo. 

0 comments:

Post a Comment