Tuesday, January 12, 2016

2Face-Idibia8
Mwimbaji wa muziki kutoka Nigeria 2 Face Idibia ameripotiwa kubadilisha jina lake na sasa anapenda kuitwa 2 Baba.

2face Idibia ametangaza jina jipya ‘2 Baba‘ kupitia twitter January 9, 2016 kwa kuandika “Guys happy every! My handle is still the same but name is now@official2baba one love always ”
2 Face kubadilisha jina inamaana atapoteza alama ya blue kwenye kurasa zake za instagram na twitter zinazomaanisha kuwa alikuwa anatambulika na mitandao hio kama 2 Face Idibia, alikuwa Verified. Kwasasa ni 2 Baba na sio 2 Face.

0 comments:

Post a Comment