Wednesday, January 20, 2016


#‎PICHA‬ Baadhi ya vibanda ya mabati vya kujihifadhi vilivyojengwa upya na wananchi waliobomelewa katika Bonde la Mkwajuni vikiteketea kwa moto baada ya kuchomwa na askari Polisi waliofika katika eneo hilo jijini Dar es Salaam jana.

0 comments:

Post a Comment