Posted by Williammalecela.com on Wednesday, February 10, 2016
|
"Pole
kwa wafiwa wote waliopoteza ndugu zao leo pale bugurun shel baada ya
lori lenye kontena kuangukia daladala
sitaki kuamin hii ni mipango ya
mungu ni uzembe wa binadamu...nina uzoefu kidogo wakutoa makontena
kurasin..kwa kweli zile lori zinazosambaza makontena hapa dar es salaam
zina hali mbaya sana zimechoka na hazina hata taa zakuonyesha inasimama
au inakata kona,cha ajabu hizo lori niza wakubwa serikali hazikamatwi na
trafik kamwe,mandela road ni hatar mana ndo yamejaa haya malori
chakavu..nlishuhudia pale kurasin Bedford ikiwashwa na dawa ya mbu ya
rungu na ilitoa mzigo wetu mpaka mikocheni kwenye yard hakuna polis
aliyeipiga mkono..." - Malik
|
0 comments:
Post a Comment