Friday, February 19, 2016


Waziri wa Afya Mh. Ummy Mwalimu jana aliondokewa na Baba yake mzazi Mzee Makwaya Ally Mwalimu huko Tanga na mazishi yanatazamiwa kufanyika leo Saa Saba Mchana huko Chukuuni Tanga, mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi Amina. Inna lillah wa ina illaih rajjiun.





Waziri wa Afya Mh. Ummy Mwalimu akiwa na Mbunge wa CCM Viti Maalum Mh. Neema Mgaya huko nyumbani kwao Chukuuni Tanga ambako mazishi yatafanyika leo mchana Saa Saba.

0 comments:

Post a Comment